Posts

Showing posts from April, 2017
Image
Add caption TAARIFA YA KUSHANGAZA: Steven Kanumba AMEONEKANA LEO HII KULE SINZA DAR ES SAALAM. ahojiwa kwa masaa sita na waandishi wa habari AELEZA MAKUBWA JUU YA FRIMASONI............Akamatwa na polisi, yuko rumande!!!
Image
MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRIL TAREHE 15.4.2017   Paun Jotia        07:28:00        No comments    
Image
Video Queen wa Harmonize Amvaa Harmorapa Rajab Abdulhan ‘Harmonize’ Na IMELDA MTEMA| GAZETI LA AMANI| SHOW BIZ- XTRA VIDEO Queen aliyeuza nyago kwenye Ngoma ya Matatizo ya memba wa Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Rajab Abdulhan ‘Harmonize’ aliyejitambulisha kwa jina la     amemvaa na kumpa makavu msanii chipukizi wa Bongo Fleva, Omary Athuman ‘Harmorapa’ akimtaka kuacha kutumia jina la Harmonize kujitafutia umaarufu. Harmonize na Harmorapa Akistorisha na Show Biz Xtra, Glady alifunguka kuwa anachukizwa na Harmorapa kumtumia... Global Publishers Read more Habari Zinazoendana 3 months ago Bongo Movies 17 JAN Video: ‘Pacha’ wa Harmonize, Harmorapa Aachia Video ya Wimbo Wake Mpya ‘Usigawe Pasi’ Msanii wa muziki, Hamorapa anayedai ni pacha wa Harmonize ameachia video ya wimbo wake mpya ‘Usigawe Pasi’ aliomshirikisha Em One. Video imeongozwa na Khero One. 3 months ago MillardAyo 17 JAN VideoMPYA: Harmorapa...
Image
TAARIFA MUHIMU KUHUSU SIFA ZA KUJIUNGA NA VYUO VYA AFYA MWAKA WA MASOMO 2017/2018   Paun Jotia        10:24:00        No comments       Habari zenu wadau, Kama kawaida yetu FICHUAMAOVUTZ BLOG   tupo kukupa kitu roho inapenda ,na tunakuomba sana samahani kwa kutokuwa hewani kwa siku kadhaa. Nipende kukuahidi kwamba,Tumerejea kwa kasi ya ajabu kabisa,kama unaswali unaweza kutu contact na utajibiwa bila shida.  Leo tumekuletea sifa za kujiunga na vyuo vya afya vilivyopo Tanzania katika ngazi ya diploma na cheti kwa kozi za afya mwaka huu wa masomo 2017/2018. SIFA ZA KUJIUNGA NA KOZI ZA AFYA KWA WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE MWAKA 2016 KURUDI NYUMA PRE-SERVICE ENTRY QUALIFICATION 1. Basic Technician Certificate Level Pharmaceutical Sciences Holders of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with four (4) passes including ‘D’ passes in Biology and Chemistry; 2. Technician c...